forked from WA-Catalog/sw_tn
40 lines
1.0 KiB
Markdown
40 lines
1.0 KiB
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Hapa mwandishi anaanza kueleza jinsi Herode alivyomnyonga Yohana mbatizaji. Matukio haya yanaanza kuonekana kabal y a matukio yaliyo kwenye mistari iliyopita
|
|
|
|
# Maelezo kwa ujumla
|
|
|
|
Mwandishi anaeleza upya habari ya kifo cha Yohana mbatizaji ili kuonesha kwa nini Herode aliitikia kwa jinsi alivyofanya aliposikia habari za Yesu
|
|
|
|
# Kwa kuwa Herode .... kuwa mke wako
|
|
|
|
Kama inahitajika unaweza kurudia mpangilio wa tukio kama ulivyo 9:3 -4.
|
|
|
|
# Herode alikuwa amemkamata Yohana na kumfunga, na kumtupa gerezani
|
|
|
|
Inasemekana kuwa Herode alifanya mabo haya kwa sababu aliwaamuru wengine kufanya kwa ajili yake.
|
|
|
|
# mke wa Filipo
|
|
|
|
Filipo ni jina la kakawa Herode
|
|
|
|
# Kwa kuwa Yohana alimwambia kuwa si halali kumchukua yeye kuwa mke wako
|
|
|
|
Kwa kuwa Yohana alikuwa amemwambia kuwa siahali kwake kumchukua kama mke wake"
|
|
|
|
# kwa kuwa Yohana alimwambia
|
|
|
|
"Kwa kuwa Yohana aliendelea kumwambia Herode"
|
|
|
|
# si halali
|
|
|
|
Filipo bado alikuwa hai wakati Herode anamwoa Herodia
|
|
|
|
# aliogopa
|
|
|
|
Herode aliogopa
|
|
|
|
# walimwona
|
|
|
|
"walimwona Yohana
|