sw_tn/mat/14/03.md

1.0 KiB

Sentensi unganishi

Hapa mwandishi anaanza kueleza jinsi Herode alivyomnyonga Yohana mbatizaji. Matukio haya yanaanza kuonekana kabal y a matukio yaliyo kwenye mistari iliyopita

Maelezo kwa ujumla

Mwandishi anaeleza upya habari ya kifo cha Yohana mbatizaji ili kuonesha kwa nini Herode aliitikia kwa jinsi alivyofanya aliposikia habari za Yesu

Kwa kuwa Herode .... kuwa mke wako

Kama inahitajika unaweza kurudia mpangilio wa tukio kama ulivyo 9:3 -4.

Herode alikuwa amemkamata Yohana na kumfunga, na kumtupa gerezani

Inasemekana kuwa Herode alifanya mabo haya kwa sababu aliwaamuru wengine kufanya kwa ajili yake.

mke wa Filipo

Filipo ni jina la kakawa Herode

Kwa kuwa Yohana alimwambia kuwa si halali kumchukua yeye kuwa mke wako

Kwa kuwa Yohana alikuwa amemwambia kuwa siahali kwake kumchukua kama mke wake"

kwa kuwa Yohana alimwambia

"Kwa kuwa Yohana aliendelea kumwambia Herode"

si halali

Filipo bado alikuwa hai wakati Herode anamwoa Herodia

aliogopa

Herode aliogopa

walimwona

"walimwona Yohana