sw_tn/mat/14/01.md

532 B

Maelezo kwa ujumla

Mistari hii inaeleza jinsi Herode alivyopokea aliposikia habari za Yesu. Tukio hili linfuatia baada ya tukio linalofuata katika simulizi

Kwa wakati huo

"Katika siku hizo" au "wakati Yesu akiendelea na huduma huko Galilaya"

alaisikia habari juuya Yesu

alaisikia juu ya uvumi wa Yesu

Akawaambia

"Herode alisema"

amaefufuka ktoka wafu

amerudi kuishi

kwa hiyo nguvu hizi zipo juu yake

Baadhi ya Wayahudi waliamini kuwa kama mtu atarudikutoka wafu anaweza kuwa nanguvu za kufanya mambo makubwa.