forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
532 B
Markdown
24 lines
532 B
Markdown
|
# Maelezo kwa ujumla
|
||
|
|
||
|
Mistari hii inaeleza jinsi Herode alivyopokea aliposikia habari za Yesu. Tukio hili linfuatia baada ya tukio linalofuata katika simulizi
|
||
|
|
||
|
# Kwa wakati huo
|
||
|
|
||
|
"Katika siku hizo" au "wakati Yesu akiendelea na huduma huko Galilaya"
|
||
|
|
||
|
# alaisikia habari juuya Yesu
|
||
|
|
||
|
alaisikia juu ya uvumi wa Yesu
|
||
|
|
||
|
# Akawaambia
|
||
|
|
||
|
"Herode alisema"
|
||
|
|
||
|
# amaefufuka ktoka wafu
|
||
|
|
||
|
amerudi kuishi
|
||
|
|
||
|
# kwa hiyo nguvu hizi zipo juu yake
|
||
|
|
||
|
Baadhi ya Wayahudi waliamini kuwa kama mtu atarudikutoka wafu anaweza kuwa nanguvu za kufanya mambo makubwa.
|