sw_tn/mat/13/47.md

706 B

Sentensi unganishi

Yesu anaelezea ufalme wa mbinguni kwa kutumia mfano wa mvuvi anayetumia nyavu kubwa kukamata samaki

Ufalme wa mbinguni ni kama nyavu

ufalme sikama nyavu, lakini ufalme hukokota watu wa kila aina kamavile nyavu zikokotavyo aina zote za samaki

ufalme wa mbinguni ni kama

tazama katika 13:24

ni kama nyavu iliyo ndani ya bahari

kama nyavu ambayo wavuvi hutupa ndani ya bahari

iliyotupwa ndani ya bahari

"iliyotupwa baharini"

hukusanya viumbe wa kila aina

"ilikamata viumbe wa kila aina

walivuta ufukweni

"walivuta ule wavu mpaka ufukweni"

vitu vyema

"vile vizuri"

visivyo na thamani

"samaki wabaya" au "samaki wasiofaa"

vilitupwa mbali

"havikutunzwa"