forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
657 B
Markdown
36 lines
657 B
Markdown
# Sentensi ungnishi
|
|
|
|
Mandhari yanahamia kwenye nyumba amabyo Yesu na wanafunzi wake walikuwa wanaishi. Yesu anaanza kuwafundiasha mfano wa shamba ambalo lilikuwa na magugu na ngano alilokuwa amewaambia mwanzoni katika 13:24.
|
|
|
|
# kwenda nyumbani
|
|
|
|
"aliingia ndani" au "aliingia kwenye nyumba ile aliyokuwa anaishi"
|
|
|
|
# apandae
|
|
|
|
"mpamzi"
|
|
|
|
# Mwana wa Adamu
|
|
|
|
Yesu anamaanisha yeye mwenyewe
|
|
|
|
# wana wa ufalme
|
|
|
|
Hapa "wana wa" inamaanisha kuwa mali ya au kuwa na tabia zilezile alizo nazo.
|
|
|
|
# wa ufalme
|
|
|
|
Mungu ni mfalme
|
|
|
|
# wana wa yule mwovu
|
|
|
|
watu ambao ni mali ya yule mwovu
|
|
|
|
# adui aliyezipanda
|
|
|
|
"adui aliyepanda magugu"
|
|
|
|
# mwisho wa ulimwengu
|
|
|
|
"mwisho wa nyakati
|