sw_tn/mat/13/36.md

657 B

Sentensi ungnishi

Mandhari yanahamia kwenye nyumba amabyo Yesu na wanafunzi wake walikuwa wanaishi. Yesu anaanza kuwafundiasha mfano wa shamba ambalo lilikuwa na magugu na ngano alilokuwa amewaambia mwanzoni katika 13:24.

kwenda nyumbani

"aliingia ndani" au "aliingia kwenye nyumba ile aliyokuwa anaishi"

apandae

"mpamzi"

Mwana wa Adamu

Yesu anamaanisha yeye mwenyewe

wana wa ufalme

Hapa "wana wa" inamaanisha kuwa mali ya au kuwa na tabia zilezile alizo nazo.

wa ufalme

Mungu ni mfalme

wana wa yule mwovu

watu ambao ni mali ya yule mwovu

adui aliyezipanda

"adui aliyepanda magugu"

mwisho wa ulimwengu

"mwisho wa nyakati