sw_tn/mat/13/18.md

664 B

sentensi unganishi

Yesu anaanza kufafanua kwa wanafunzi wake ule mfano wa mpanzi unaoanzi 13:3

neno la ufalme

neno linamaanisha ujumbe "ufalme" unamaanisha utawala wa Mungu kama mfalme

mwovu huja nakukinyakua kilichokwisha kupandwa mioyoni mwenu

Yesu anaongea juu ya shaetani anayewafanya kusahau kile walichosikia kama ndege anavyozidonoa mbegu zilizoanguka chini.

mwovu

shetani

kukinyakua

kukichukua kitu kwa mtu aliyesahihi

kilichokwishapandwa ndani ya moyo wake

ujume ule Mungu aliopanda nadani ya moyo wake.

ndani ya moyo ake

moyo unamanisha akili ya msikilizaji

hii ni mbegu iliyopandwa kando ya njia

tafsiri kama ilivyo 13:3