sw_tn/mat/13/07.md

717 B

Sentensi unganishi

Yesu anamaliza mfano wa mpanzi

zilianguka katai ya miti ya miiba

"zilianguka mahali ambapo miiba na mimea hukua"

ikaisonga

"ikaisinga ile mimea mipya" tumia neno lako magugu kuzuia mimea mingine kukua vizuri.

kuzaa mbegu

"kuzaa mazao" au "kuzalisha mbegu zaidi" au kutoa matunda"

zingine maramiamoja zadi, zingine sitini, na zingine thelathini

unaweza kuiweka vizuri zaidi katika maana inayoeleweka

mia moja ... sitini ... thelathini

"100 ... 60 ... 30"

aliye na masikio

Hii ni njia inayomaaisha kwa kila anayesikiliza. "Kila anayenisikilza." Tazamaulivyotafsiri katika 11:13

asikie

Hapa "kusikia" inamaanisha kuwa msikivu. "lazima awe makini na kile ninachokisema"