forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
631 B
Markdown
24 lines
631 B
Markdown
# maelezo ya jumla
|
|
|
|
Huu nimwanzo wa simulizi jipaya amabapo Yesu anaanza kufundisha makutano, kwa kutumia mifano juu ya ufalme wa mbinguni
|
|
|
|
# katika siku hiyo
|
|
|
|
Tukio hili liltokea siku hiyohiyo sawa na yale yaliyo kwenye sura iliyopita.
|
|
|
|
# alikaa kando ya bahari
|
|
|
|
ilimaanisha kuwa alikaa chini kuwafundishsa watu.
|
|
|
|
# aliondoka nyumbani
|
|
|
|
Haijatajwa kuwa ilikuwa nyumba ya nani ambayo Yesu alikuwa akiishi
|
|
|
|
# aliingia nadni ya mtumbwi
|
|
|
|
Inamaanisha kuwa Yesu aliingia kwenye mtumbwi kwa sababu ingemfanya iwe rahisi kuwafundisha watu.
|
|
|
|
# mtumbwi
|
|
|
|
Huu yawezekana mtumbwi wa wazi, uliotengenezwa kwa miti wa kuvulia samaki wenye tanga.
|