sw_tn/mat/13/01.md

631 B

maelezo ya jumla

Huu nimwanzo wa simulizi jipaya amabapo Yesu anaanza kufundisha makutano, kwa kutumia mifano juu ya ufalme wa mbinguni

katika siku hiyo

Tukio hili liltokea siku hiyohiyo sawa na yale yaliyo kwenye sura iliyopita.

alikaa kando ya bahari

ilimaanisha kuwa alikaa chini kuwafundishsa watu.

aliondoka nyumbani

Haijatajwa kuwa ilikuwa nyumba ya nani ambayo Yesu alikuwa akiishi

aliingia nadni ya mtumbwi

Inamaanisha kuwa Yesu aliingia kwenye mtumbwi kwa sababu ingemfanya iwe rahisi kuwafundisha watu.

mtumbwi

Huu yawezekana mtumbwi wa wazi, uliotengenezwa kwa miti wa kuvulia samaki wenye tanga.