sw_tn/mat/12/43.md

970 B

Sentensi unganishi

Yesu anaendelea kuwakemea waandishi na Mafarisyao.

Wakati pepo machafu ... kwa kizazi hiki kibovu

Yesu anatumia mfano kuwaonya watu hatari ya kutokuamini

"mahali pasipo na maji

"eneo kavu"au "mahali ambapo watu hawaishi"

lakini hapaoni

Hapa "ni" inamaanisha kupumzika

Kisha husema, 'nitarudi kwenye nyumba yangu niloyotoka

Hii inaweza kutafsiriwa kama sentensi na wala si nukuu "kwa hiyo yule roho mchafu huamua kurudi kwenye nyumba yake ambayo alitoka"

kwenye nyumba yangu niliyotoka

Hii ni sitiari ya ya mtu ambaye pepo lilitoka. "pale nilikotoka

arudipo akikuta ile nyumba imesafishwa na iko tayari

Hii inaweza kutafsiriwa katika muunda tendaji. "yule roho mchafu akikuta ile nyumba iko safi na imewekwa kila kitu katika mahali pake",

Hivi ndivyo itavyokuwa kwa kizazi hiki kiovu

Hii inamaanisha kama watu wa kizazi cha Yesu hawatamwamini na kuwa wanfunzi wake, watakuwa katika hali mbaya kuliko walivyokuwa mwanzoni