forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
970 B
Markdown
32 lines
970 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Yesu anaendelea kuwakemea waandishi na Mafarisyao.
|
||
|
|
||
|
# Wakati pepo machafu ... kwa kizazi hiki kibovu
|
||
|
|
||
|
Yesu anatumia mfano kuwaonya watu hatari ya kutokuamini
|
||
|
|
||
|
# "mahali pasipo na maji
|
||
|
|
||
|
"eneo kavu"au "mahali ambapo watu hawaishi"
|
||
|
|
||
|
# lakini hapaoni
|
||
|
|
||
|
Hapa "ni" inamaanisha kupumzika
|
||
|
|
||
|
# Kisha husema, 'nitarudi kwenye nyumba yangu niloyotoka
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kutafsiriwa kama sentensi na wala si nukuu "kwa hiyo yule roho mchafu huamua kurudi kwenye nyumba yake ambayo alitoka"
|
||
|
|
||
|
# kwenye nyumba yangu niliyotoka
|
||
|
|
||
|
Hii ni sitiari ya ya mtu ambaye pepo lilitoka. "pale nilikotoka
|
||
|
|
||
|
# arudipo akikuta ile nyumba imesafishwa na iko tayari
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kutafsiriwa katika muunda tendaji. "yule roho mchafu akikuta ile nyumba iko safi na imewekwa kila kitu katika mahali pake",
|
||
|
|
||
|
# Hivi ndivyo itavyokuwa kwa kizazi hiki kiovu
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha kama watu wa kizazi cha Yesu hawatamwamini na kuwa wanfunzi wake, watakuwa katika hali mbaya kuliko walivyokuwa mwanzoni
|