forked from WA-Catalog/sw_tn
44 lines
1.1 KiB
Markdown
44 lines
1.1 KiB
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Yesu anaendelea kuwakemea waandishi na Mafarisayo
|
|
|
|
# Malkia wa kusini
|
|
|
|
Hii inamaanisha Malkia wa sheba. Sheba ni nchi iliyo kusini mwa Israeli
|
|
|
|
# atainuka kwenye hukumu pamoja na watu wa kizazi hiki
|
|
|
|
"atasimama siku ya hukumu na kuwahukumu watu wa kizazi hiki, Tazama ilivyotafsiriwa katika 12:41
|
|
|
|
# kizazi hiki
|
|
|
|
Hii inamaanisha watu walioishi wakati Yesu alipokuwa akihubiri
|
|
|
|
# na kukihukumu
|
|
|
|
Ni Mungu atakayekihukumu kizazi chxa Yesu. "Na Mungu atawasiliza raiawa Ninawi na kukihukumu kizazi hiki "
|
|
|
|
# alikuja toka miishio ya dunia
|
|
|
|
Hapa "miishio ya dunia" ni nahau inayomaanisha "mbali." Alikuja tokea mbali"
|
|
|
|
# Alikuja
|
|
|
|
Sentensi hii inaeleza kwa nini Malkia wa kusini atakihukumu kizazi cha Yesu, "allikuja kwa hilo"
|
|
|
|
# na Tazama
|
|
|
|
"na anagalia" Hii inaongeza msisitizo wa kile Yesu alichosema baadaye
|
|
|
|
# mtu fulani mkuu
|
|
|
|
"mtu wa muhimu sana"
|
|
|
|
# fulani
|
|
|
|
Yesu anaongea juu yake
|
|
|
|
# Kuliko Selemani Yuko hapa
|
|
|
|
Unaweza kuiweka maana ya sentensi ya Yesu iliyofumbwa kuwa wazi. "Kuliko Selemani yuko hapa, lakini hausikilizi. Hiyo ndiyo sababu ya Mungu kuwahukumu"
|