sw_tn/mat/12/42.md

1.1 KiB

Sentensi unganishi

Yesu anaendelea kuwakemea waandishi na Mafarisayo

Malkia wa kusini

Hii inamaanisha Malkia wa sheba. Sheba ni nchi iliyo kusini mwa Israeli

atainuka kwenye hukumu pamoja na watu wa kizazi hiki

"atasimama siku ya hukumu na kuwahukumu watu wa kizazi hiki, Tazama ilivyotafsiriwa katika 12:41

kizazi hiki

Hii inamaanisha watu walioishi wakati Yesu alipokuwa akihubiri

na kukihukumu

Ni Mungu atakayekihukumu kizazi chxa Yesu. "Na Mungu atawasiliza raiawa Ninawi na kukihukumu kizazi hiki "

alikuja toka miishio ya dunia

Hapa "miishio ya dunia" ni nahau inayomaanisha "mbali." Alikuja tokea mbali"

Alikuja

Sentensi hii inaeleza kwa nini Malkia wa kusini atakihukumu kizazi cha Yesu, "allikuja kwa hilo"

na Tazama

"na anagalia" Hii inaongeza msisitizo wa kile Yesu alichosema baadaye

mtu fulani mkuu

"mtu wa muhimu sana"

fulani

Yesu anaongea juu yake

Kuliko Selemani Yuko hapa

Unaweza kuiweka maana ya sentensi ya Yesu iliyofumbwa kuwa wazi. "Kuliko Selemani yuko hapa, lakini hausikilizi. Hiyo ndiyo sababu ya Mungu kuwahukumu"