1.1 KiB
Sentensi unganishi
Yesu anaendelea kuwakemea waandishi na Mafarisayo
Malkia wa kusini
Hii inamaanisha Malkia wa sheba. Sheba ni nchi iliyo kusini mwa Israeli
atainuka kwenye hukumu pamoja na watu wa kizazi hiki
"atasimama siku ya hukumu na kuwahukumu watu wa kizazi hiki, Tazama ilivyotafsiriwa katika 12:41
kizazi hiki
Hii inamaanisha watu walioishi wakati Yesu alipokuwa akihubiri
na kukihukumu
Ni Mungu atakayekihukumu kizazi chxa Yesu. "Na Mungu atawasiliza raiawa Ninawi na kukihukumu kizazi hiki "
alikuja toka miishio ya dunia
Hapa "miishio ya dunia" ni nahau inayomaanisha "mbali." Alikuja tokea mbali"
Alikuja
Sentensi hii inaeleza kwa nini Malkia wa kusini atakihukumu kizazi cha Yesu, "allikuja kwa hilo"
na Tazama
"na anagalia" Hii inaongeza msisitizo wa kile Yesu alichosema baadaye
mtu fulani mkuu
"mtu wa muhimu sana"
fulani
Yesu anaongea juu yake
Kuliko Selemani Yuko hapa
Unaweza kuiweka maana ya sentensi ya Yesu iliyofumbwa kuwa wazi. "Kuliko Selemani yuko hapa, lakini hausikilizi. Hiyo ndiyo sababu ya Mungu kuwahukumu"