forked from WA-Catalog/sw_tn
48 lines
1.3 KiB
Markdown
48 lines
1.3 KiB
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Maongezi katika mistari hii yananza mara baada tu ya Yesu kujibu hoja za Mafarisayo kwamba alimponya mtu kwa nguvu za shetani
|
|
|
|
# Maelezo kwa ujumla
|
|
|
|
Katikamstari wa 39, Yesu anaanza kuwakemea waandishi na Mafarisayo
|
|
|
|
# tungependa
|
|
|
|
"taka"
|
|
|
|
# kuona ishara totka kwako
|
|
|
|
Unaweza kuiweka wazi kwa nini wanataka kuona ishara "kuona ishara toka kwako ili kuhakikisha kuwa kile unachosema ni kweli.
|
|
|
|
# kizazi kiovu na cha zinaa kinatafua ishara ... itakayotolewa kwao
|
|
|
|
Yesu anasema na kizazi kilichokuwepo. "ninyi ni waovu na kizazi cha zinaa wanaotafuta ishara toka kwangu ... itakayotolewa kwao
|
|
|
|
# kizazi cha zinaa
|
|
|
|
Hapa "zinaa" ni sitiari ya watu wasio waaminifu kwa Mungu.
|
|
|
|
# kinatafuta ishara
|
|
|
|
Ombi hili linamkasirisha Yesu kwa sababu ya mashaka na tabia ya viongozi wa dini juu ya Yesu. Alikuwa amefanya miujiza mingi, lakini bado walikuwa hawamwamini
|
|
|
|
# hakuna ishara itakayotolewa
|
|
|
|
Hii inaweza kuelezwa katika mmundo tendaji. "Mungu hatawapa ishara"
|
|
|
|
# isipokuwa ile ishara ya nabii Yona
|
|
|
|
"isipokuwa ishara ileile amabyo Mungu alimpa nabii Yona"
|
|
|
|
# siku tatu mchan nausiku
|
|
|
|
Hapa "usiku" na "mchana" inamaanisha kipindi cha saa 24 kamili. "siku tatu kamili"
|
|
|
|
# Mwana wa Adamu
|
|
|
|
Yesu anaongea juu ya yeye mwenyewe
|
|
|
|
# ndani y a moyo wa nchi
|
|
|
|
Hii inammanisha ndani ya kaburi halisi
|