sw_tn/mat/12/38.md

1.3 KiB

Sentensi unganishi

Maongezi katika mistari hii yananza mara baada tu ya Yesu kujibu hoja za Mafarisayo kwamba alimponya mtu kwa nguvu za shetani

Maelezo kwa ujumla

Katikamstari wa 39, Yesu anaanza kuwakemea waandishi na Mafarisayo

tungependa

"taka"

kuona ishara totka kwako

Unaweza kuiweka wazi kwa nini wanataka kuona ishara "kuona ishara toka kwako ili kuhakikisha kuwa kile unachosema ni kweli.

kizazi kiovu na cha zinaa kinatafua ishara ... itakayotolewa kwao

Yesu anasema na kizazi kilichokuwepo. "ninyi ni waovu na kizazi cha zinaa wanaotafuta ishara toka kwangu ... itakayotolewa kwao

kizazi cha zinaa

Hapa "zinaa" ni sitiari ya watu wasio waaminifu kwa Mungu.

kinatafuta ishara

Ombi hili linamkasirisha Yesu kwa sababu ya mashaka na tabia ya viongozi wa dini juu ya Yesu. Alikuwa amefanya miujiza mingi, lakini bado walikuwa hawamwamini

hakuna ishara itakayotolewa

Hii inaweza kuelezwa katika mmundo tendaji. "Mungu hatawapa ishara"

isipokuwa ile ishara ya nabii Yona

"isipokuwa ishara ileile amabyo Mungu alimpa nabii Yona"

siku tatu mchan nausiku

Hapa "usiku" na "mchana" inamaanisha kipindi cha saa 24 kamili. "siku tatu kamili"

Mwana wa Adamu

Yesu anaongea juu ya yeye mwenyewe

ndani y a moyo wa nchi

Hii inammanisha ndani ya kaburi halisi