sw_tn/mat/12/36.md

555 B

Sentensi unganishi

Yesu anahitimisha majibu yake hoja za Mafarisayo za kwamba alimponya mtu kwa nguvu za shetani.

Nawaambia

Msisitizo wa kileYesu alichosema baadaye

Watu atatoa hesabu ya kila neno

"Mungu atawauliza watu kuhusu" au "atu watajieleza mbele za Mungu"

Kila neno lililo la maana walilosema

Hapa "neno" inamaanisha kitu ambacho mtu husema. "kila jambo lenye kudhuru watakolokuwa wamesema"

utahesabiwa haki na kwa maneno yako utahukumiwa

Hii inaweza kuelezwa kwa mfumo tendaji. "Mungu atakuhesabia haki ... Mungu atakuhukumu"