sw_tn/mat/12/28.md

1.2 KiB

Sentensi unganishi

Yesu anaendelea kuwajibu Mafarisayo

Na kama natoa

Hapa "kama" haimaanishi kuwa Yesuanahoji jinsi anavyowatoa pepo. Hapa Yesu anatumia neno kuleta sentensi ya kweli. "Lakimi kwa sababu nina"

basu ufalme wa Mungu umekuja kwenu

"Basi ufalme wa mbinguni umefika kwenu." Hapa "ufalme" utawala wa Mungu kama mfalme. "Hii inamaanisha Mungu anaanzisha ufame kwenu"

umekuja kwenu

Hapa "kwenu" ni wingi na inamaanisha watu wa Israel,

na mtu awezaje kuingia ndani ya nyumba ... atakapoiba mali yake

Yesu anatumia mfanokuendelea na majibu yake kwa Mafarisayo. Yesu anamaanisha anaweza kuwatoa pepo kwa sababu ana nguvu kuliko shetani.

Awezaje mtu kuingi ... asipomfunga mwenye nguvu kwanza?

Yesu anatuumia swali kuwafundisha Mafarisauo na makutano. "Hakuna awezaye kuingia ..bila kumfunga mwenye nguvu kwanza"

Ndipo atakapoiba

"Ndipo atakapoiba" au "Ndipo atakapoweza kuiba"

yeyote asiyekuwa pamoja nami

"ambaye hashirikiani nami" au "amabye hafanyi kazi p amoja nami"

yuko kinyume changu

"ananipinga mimi" au "hufanya kazi kinyume na mimi"

Huyo asiyekusanya nami hutapanya

Yesu anatumia kirai amabcho kinamunesha mtu amabye aidha anakusanya kundi la wanyama kwa mchungaji au anayewatapanya totka kwa mchungaji.