sw_tn/mat/12/18.md

24 lines
549 B
Markdown

# Sentensi unganishi
Hapa Mthayo anamnukuu nabii Isaya kuonesha kuwa huduma ya Yesu ilitimiza unabii
# Tazama
"Angalia." Mungu alitumia neno hili kumleta mtu mwingine
# mpe ...Nita
Viwakilishi vyote vinamrejelea Mungu. Isaya ananukuu kile ambacho Mungu alimwambia
# katika yeye nafsi yangu imependezwa
Hapa "nafsi" inamanisha nafasi kamil. "na nimependezwa naye"
# na atatangaza
"na mtumishi wangu atatangaza"
# atatangaza hukumu
Hapa "hukumu" haimaanishi "adhabu" inamaanisha mtumishi atawambia mtaifa Mungu ni mwenye haki, na atawaokoa