sw_tn/mat/12/18.md

549 B

Sentensi unganishi

Hapa Mthayo anamnukuu nabii Isaya kuonesha kuwa huduma ya Yesu ilitimiza unabii

Tazama

"Angalia." Mungu alitumia neno hili kumleta mtu mwingine

mpe ...Nita

Viwakilishi vyote vinamrejelea Mungu. Isaya ananukuu kile ambacho Mungu alimwambia

katika yeye nafsi yangu imependezwa

Hapa "nafsi" inamanisha nafasi kamil. "na nimependezwa naye"

na atatangaza

"na mtumishi wangu atatangaza"

atatangaza hukumu

Hapa "hukumu" haimaanishi "adhabu" inamaanisha mtumishi atawambia mtaifa Mungu ni mwenye haki, na atawaokoa