forked from WA-Catalog/sw_tn
549 B
549 B
Sentensi unganishi
Hapa Mthayo anamnukuu nabii Isaya kuonesha kuwa huduma ya Yesu ilitimiza unabii
Tazama
"Angalia." Mungu alitumia neno hili kumleta mtu mwingine
mpe ...Nita
Viwakilishi vyote vinamrejelea Mungu. Isaya ananukuu kile ambacho Mungu alimwambia
katika yeye nafsi yangu imependezwa
Hapa "nafsi" inamanisha nafasi kamil. "na nimependezwa naye"
na atatangaza
"na mtumishi wangu atatangaza"
atatangaza hukumu
Hapa "hukumu" haimaanishi "adhabu" inamaanisha mtumishi atawambia mtaifa Mungu ni mwenye haki, na atawaokoa