forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
558 B
Markdown
24 lines
558 B
Markdown
# Maelezo kwa ujumla
|
|
|
|
Simulizi hii inaeleza jinsi matendo ya Yesu yalivyotimiza moja kati ya unabii wa Isaya
|
|
|
|
# Yesu alivyoelewa hili
|
|
|
|
"Yesu alikuwa anatambua kile Mafarisayo walichokuwa wakipanga
|
|
|
|
# aliondoka hapo
|
|
|
|
"alitoka" au "aliondoka"
|
|
|
|
# wasije wakamfanya afahamike kwa wengine
|
|
|
|
wasimwambie mtu yeyote kuhusu yeye"
|
|
|
|
# kwamba itimie ile kweli
|
|
|
|
Hii inaweza kutafsriwa kama sentensi mpya. "Hii ilitimiza kile"
|
|
|
|
# iliyokuwa imesemwa na nabii Isaya
|
|
|
|
Hii inaweza kuelezwa katika muundo tendaji. "Kile Mungu alichokuwa amesema zamani kupitia Isaya akaisema..
|