sw_tn/mat/12/15.md

558 B

Maelezo kwa ujumla

Simulizi hii inaeleza jinsi matendo ya Yesu yalivyotimiza moja kati ya unabii wa Isaya

Yesu alivyoelewa hili

"Yesu alikuwa anatambua kile Mafarisayo walichokuwa wakipanga

aliondoka hapo

"alitoka" au "aliondoka"

wasije wakamfanya afahamike kwa wengine

wasimwambie mtu yeyote kuhusu yeye"

kwamba itimie ile kweli

Hii inaweza kutafsriwa kama sentensi mpya. "Hii ilitimiza kile"

iliyokuwa imesemwa na nabii Isaya

Hii inaweza kuelezwa katika muundo tendaji. "Kile Mungu alichokuwa amesema zamani kupitia Isaya akaisema..