forked from WA-Catalog/sw_tn
558 B
558 B
Maelezo kwa ujumla
Simulizi hii inaeleza jinsi matendo ya Yesu yalivyotimiza moja kati ya unabii wa Isaya
Yesu alivyoelewa hili
"Yesu alikuwa anatambua kile Mafarisayo walichokuwa wakipanga
aliondoka hapo
"alitoka" au "aliondoka"
wasije wakamfanya afahamike kwa wengine
wasimwambie mtu yeyote kuhusu yeye"
kwamba itimie ile kweli
Hii inaweza kutafsriwa kama sentensi mpya. "Hii ilitimiza kile"
iliyokuwa imesemwa na nabii Isaya
Hii inaweza kuelezwa katika muundo tendaji. "Kile Mungu alichokuwa amesema zamani kupitia Isaya akaisema..