forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
519 B
Markdown
24 lines
519 B
Markdown
# Kisha Yesu akamwambia yule mtu nyosha mkono wako
|
|
|
|
Hii inaweza kutafsiriwa kama nukuu isiyo ya moja kwa moja, "Kisha Yesu akamwamuru yule mtu kunyosha mkono wake"
|
|
|
|
# yule mtu
|
|
|
|
"yule mtu mwenye mkono uliopoza au " yule mtu mwenye ulemavu wa mkono"
|
|
|
|
# Nyosha mkono wako
|
|
|
|
"Utoe mkono wako" au "utanue mkon wako"
|
|
|
|
# Akaunyosha
|
|
|
|
"Yule mtu akaunyosha"
|
|
|
|
# ukapata afyfa
|
|
|
|
Hii inaweza kutafsiriwa katika muundo tendaji. "ule mkono ukawa na afya tena" au "ukawa salama tena"
|
|
|
|
# kupanga kinyume chake
|
|
|
|
"wakapanga kinyume chake"
|