sw_tn/mat/12/13.md

519 B

Kisha Yesu akamwambia yule mtu nyosha mkono wako

Hii inaweza kutafsiriwa kama nukuu isiyo ya moja kwa moja, "Kisha Yesu akamwamuru yule mtu kunyosha mkono wake"

yule mtu

"yule mtu mwenye mkono uliopoza au " yule mtu mwenye ulemavu wa mkono"

Nyosha mkono wako

"Utoe mkono wako" au "utanue mkon wako"

Akaunyosha

"Yule mtu akaunyosha"

ukapata afyfa

Hii inaweza kutafsiriwa katika muundo tendaji. "ule mkono ukawa na afya tena" au "ukawa salama tena"

kupanga kinyume chake

"wakapanga kinyume chake"