forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
975 B
Markdown
36 lines
975 B
Markdown
# Sentensi unganishi:
|
|
|
|
Yesu anaendelea kuwajibu Mafarisayo
|
|
|
|
# Maelezo kwa ujumla:
|
|
|
|
Katika mstari 7, Yesu anamnukuu nabii Hosea kuwakemea Mafarisayo.
|
|
|
|
# Kama mngalijua hii inamaanisha nini, nataka rehema na siyo dhabihu; msingaliwahukumu wasio na hatia
|
|
|
|
Hapa Yesu ananukuu andiko. "Nabii Hosea aliandika juu ya haya tangu zamani. "Natakarehema na siyo dhabihu. 'Kama mngalielewa hii ilimaanisha nini, msingaliwalaumu wasio na hatia'
|
|
|
|
# Nataka rehema na sio dhabihu
|
|
|
|
Katika sheria za Musa, Mungu aliwaagiza Waisraeli kutoa sadaka. Hii inamaanisha kuwa Mungu huichukulia rehema kuwa muhimu kuliko sadaka.
|
|
|
|
# hii inamaanisha nini
|
|
|
|
"nini Mungu amesema katika maandiko"
|
|
|
|
# Nataka
|
|
|
|
Kiwakilishi "Na" kinamrejelea Mungu.
|
|
|
|
# wasio na hatia
|
|
|
|
Hii inaweza kutafsiriwa katika muundo tendaji. "Wale wasiokuwa na hatia"
|
|
|
|
# Mwana wa Adamu
|
|
|
|
Yesu anamaanisha yeye mwenyewe
|
|
|
|
# ndiye Bwana wa Sabato
|
|
|
|
"anaitawala Sabato" au "anatengeneza sheria juu ya nini watu wanaweza kufanya siku ya Sabato"
|