sw_tn/mat/12/07.md

975 B

Sentensi unganishi:

Yesu anaendelea kuwajibu Mafarisayo

Maelezo kwa ujumla:

Katika mstari 7, Yesu anamnukuu nabii Hosea kuwakemea Mafarisayo.

Kama mngalijua hii inamaanisha nini, nataka rehema na siyo dhabihu; msingaliwahukumu wasio na hatia

Hapa Yesu ananukuu andiko. "Nabii Hosea aliandika juu ya haya tangu zamani. "Natakarehema na siyo dhabihu. 'Kama mngalielewa hii ilimaanisha nini, msingaliwalaumu wasio na hatia'

Nataka rehema na sio dhabihu

Katika sheria za Musa, Mungu aliwaagiza Waisraeli kutoa sadaka. Hii inamaanisha kuwa Mungu huichukulia rehema kuwa muhimu kuliko sadaka.

hii inamaanisha nini

"nini Mungu amesema katika maandiko"

Nataka

Kiwakilishi "Na" kinamrejelea Mungu.

wasio na hatia

Hii inaweza kutafsiriwa katika muundo tendaji. "Wale wasiokuwa na hatia"

Mwana wa Adamu

Yesu anamaanisha yeye mwenyewe

ndiye Bwana wa Sabato

"anaitawala Sabato" au "anatengeneza sheria juu ya nini watu wanaweza kufanya siku ya Sabato"