forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
639 B
Markdown
28 lines
639 B
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Yesu anajibu ukosoaji wa mafarisayo
|
|
|
|
# akawaambia
|
|
|
|
Mafarisayo
|
|
|
|
# Hamjasoma ... nao
|
|
|
|
Yesu anatumia swali kujibu ukosoaji wa mafarisayo. Yesu anawapa changamoto ili kufikiri juu ya maana ya andiko ambalo walisoma. "Najua mmesoma juu yaa...nao"
|
|
|
|
# nyumba ya Mungu
|
|
|
|
Wakati wa Daudi bado hapakuwa na hekalu. "hema" au " mahali pa kumwabudia Mungu"
|
|
|
|
# mkate wa wonyesho
|
|
|
|
Huu ni mkate uliotakaswa ambao makuhani walipeleka mbele za Mungu hemani. "Mikate ambayo makuhani walipeleka mbele za Mungu
|
|
|
|
# wale aliokuwa pamoja nao
|
|
|
|
"watu waliokuwa pamoja na Daudi"
|
|
|
|
# ila halali kwa makuhani
|
|
|
|
"ni makuhani tu walioruhusiwa kuula."
|