sw_tn/mat/12/03.md

639 B

Sentensi unganishi

Yesu anajibu ukosoaji wa mafarisayo

akawaambia

Mafarisayo

Hamjasoma ... nao

Yesu anatumia swali kujibu ukosoaji wa mafarisayo. Yesu anawapa changamoto ili kufikiri juu ya maana ya andiko ambalo walisoma. "Najua mmesoma juu yaa...nao"

nyumba ya Mungu

Wakati wa Daudi bado hapakuwa na hekalu. "hema" au " mahali pa kumwabudia Mungu"

mkate wa wonyesho

Huu ni mkate uliotakaswa ambao makuhani walipeleka mbele za Mungu hemani. "Mikate ambayo makuhani walipeleka mbele za Mungu

wale aliokuwa pamoja nao

"watu waliokuwa pamoja na Daudi"

ila halali kwa makuhani

"ni makuhani tu walioruhusiwa kuula."