forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
549 B
Markdown
20 lines
549 B
Markdown
# mkamtaarifu Yohana
|
|
|
|
"mwambieni Yohana''
|
|
|
|
# wakoma wanatakaswa
|
|
|
|
Hii inaweza kuelezwa kwa mfumo tendaji. "Ninawaponya wenye ukoma"
|
|
|
|
# Watu waliokufa wanafufuliwa
|
|
|
|
Hii inaweza kuelezwa katika mfumo tendaji. " Ninawafanya wale waliokufa kuwa hai tena
|
|
|
|
# Watu wahitaji wanahubiriwa habari njema
|
|
|
|
Hii inaweza kuelezwa katika mfumo tendaji "Ninawaambia wahitaji"
|
|
|
|
# yule asiyeona shaka juu yangu
|
|
|
|
Hapa neno "shaka" ni nahau inayomaanisha kupoteza imani. "mtu asiyeachca kuamini kwa sababu ya kile ninachofanya" au "mtu asiyeona mashaka kwa sababu yangu"
|