forked from WA-Catalog/sw_tn
549 B
549 B
mkamtaarifu Yohana
"mwambieni Yohana''
wakoma wanatakaswa
Hii inaweza kuelezwa kwa mfumo tendaji. "Ninawaponya wenye ukoma"
Watu waliokufa wanafufuliwa
Hii inaweza kuelezwa katika mfumo tendaji. " Ninawafanya wale waliokufa kuwa hai tena
Watu wahitaji wanahubiriwa habari njema
Hii inaweza kuelezwa katika mfumo tendaji "Ninawaambia wahitaji"
yule asiyeona shaka juu yangu
Hapa neno "shaka" ni nahau inayomaanisha kupoteza imani. "mtu asiyeachca kuamini kwa sababu ya kile ninachofanya" au "mtu asiyeona mashaka kwa sababu yangu"