sw_tn/mat/11/04.md

549 B

mkamtaarifu Yohana

"mwambieni Yohana''

wakoma wanatakaswa

Hii inaweza kuelezwa kwa mfumo tendaji. "Ninawaponya wenye ukoma"

Watu waliokufa wanafufuliwa

Hii inaweza kuelezwa katika mfumo tendaji. " Ninawafanya wale waliokufa kuwa hai tena

Watu wahitaji wanahubiriwa habari njema

Hii inaweza kuelezwa katika mfumo tendaji "Ninawaambia wahitaji"

yule asiyeona shaka juu yangu

Hapa neno "shaka" ni nahau inayomaanisha kupoteza imani. "mtu asiyeachca kuamini kwa sababu ya kile ninachofanya" au "mtu asiyeona mashaka kwa sababu yangu"