sw_tn/mat/10/42.md

779 B

Sentensi unganishi

Yesu anamalizia kuwaelekeza wanafunzi wake kuhusu kitu cha kufanya na nini watarajie watakapoenda kuhubiri.

yeyote atakayempatia

"yeyote ambaye atampatia."

mmoja wa wadogo hawa

"mmoja wa hawa wanyenyekevu" au "hawa wasio wa muhimu," Kirai "mmoja wa" mmoja kati ya wanafunzi waYesu.

kweli ninwaambia

"Ninawambia ukweli." Kirai hiki kinongeza msisitizo wa kile Yesu atakachokisema baadaye.

hawezi... kukosa thawabu yake

Kiwakiloishi "ha" na "yake" kinamaanisha mtu yule anayetoa.

yeye hawezi kukosa kwa njia yeyote thawabu yake

"kwamba mtu hakika atapokea thawabu yake"

hawezi kukosa kwa njia yeyote

"Mungu hatamkana." "kukanwa" Hii haimanishi kutoweka kwa mali. Hii inaweza kuelezeka kwa mfumo tendaji. "Kwa hakika Mungu atampatia"