sw_tn/mat/10/42.md

28 lines
779 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2018-04-12 01:01:04 +00:00
# Sentensi unganishi
Yesu anamalizia kuwaelekeza wanafunzi wake kuhusu kitu cha kufanya na nini watarajie watakapoenda kuhubiri.
# yeyote atakayempatia
"yeyote ambaye atampatia."
# mmoja wa wadogo hawa
"mmoja wa hawa wanyenyekevu" au "hawa wasio wa muhimu," Kirai "mmoja wa" mmoja kati ya wanafunzi waYesu.
# kweli ninwaambia
"Ninawambia ukweli." Kirai hiki kinongeza msisitizo wa kile Yesu atakachokisema baadaye.
# hawezi... kukosa thawabu yake
Kiwakiloishi "ha" na "yake" kinamaanisha mtu yule anayetoa.
# yeye hawezi kukosa kwa njia yeyote thawabu yake
"kwamba mtu hakika atapokea thawabu yake"
# hawezi kukosa kwa njia yeyote
"Mungu hatamkana." "kukanwa" Hii haimanishi kutoweka kwa mali. Hii inaweza kuelezeka kwa mfumo tendaji. "Kwa hakika Mungu atampatia"