forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
903 B
Markdown
28 lines
903 B
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Yesu anaendelea kuwaelekeza wanafunzi wake kuhusu sababu kuhofia dhiki ambayo itawapata
|
|
|
|
# yeyote atakayenikiri mbele za mtu
|
|
|
|
"yeyote atakayewaambia wengine huyo ni mwanafunzi wangu" au "Yeyote anayekubali mbele za wengine kwamba yeye ni mwamanifu wangu"
|
|
|
|
# nami pia nitamkiri mbele ya baba yangu aliye mbinguni
|
|
|
|
Unaweza kuifafanua hiyo ili ieleweke wazi. "nami nitamkiri mbele za Mungu wangu aliye mbinguni kwamba hawa watu ni wangu"
|
|
|
|
# Babab yangu aliye mbinguni
|
|
|
|
"Baba wa mbinguni"
|
|
|
|
# Baba
|
|
|
|
Hii ni sifa muhimu ya Mungu"
|
|
|
|
# yeyote atakayenikana mbele za mtu
|
|
|
|
"yeyote atakayenikana mbele za watu" au "yeye atakayenikataa mbele za watu" au "yeyote atakayekataa kunitambua mimi kwa wengine kuwa yeye ni mwanafunzi wangu"
|
|
|
|
# Nami nitamkana mbele ya Babayangu wa mbinguni
|
|
|
|
Unaweza kulifafanua kwa uwazi unaoweza kueleweka. "Nitamkana mbele ya Baba aliye mbinguni kuwa huyu ni wangu"
|