sw_tn/mat/10/32.md

903 B

Sentensi unganishi

Yesu anaendelea kuwaelekeza wanafunzi wake kuhusu sababu kuhofia dhiki ambayo itawapata

yeyote atakayenikiri mbele za mtu

"yeyote atakayewaambia wengine huyo ni mwanafunzi wangu" au "Yeyote anayekubali mbele za wengine kwamba yeye ni mwamanifu wangu"

nami pia nitamkiri mbele ya baba yangu aliye mbinguni

Unaweza kuifafanua hiyo ili ieleweke wazi. "nami nitamkiri mbele za Mungu wangu aliye mbinguni kwamba hawa watu ni wangu"

Babab yangu aliye mbinguni

"Baba wa mbinguni"

Baba

Hii ni sifa muhimu ya Mungu"

yeyote atakayenikana mbele za mtu

"yeyote atakayenikana mbele za watu" au "yeye atakayenikataa mbele za watu" au "yeyote atakayekataa kunitambua mimi kwa wengine kuwa yeye ni mwanafunzi wangu"

Nami nitamkana mbele ya Babayangu wa mbinguni

Unaweza kulifafanua kwa uwazi unaoweza kueleweka. "Nitamkana mbele ya Baba aliye mbinguni kuwa huyu ni wangu"