sw_tn/mat/10/14.md

1.1 KiB

Sentensi unganishi

Yesu anaendelea kuwaelekeza wanafunzi wake cha kufanya watakapoenda kuhubiri

Na kwa wale wasiowapokea au kusikiliza

"Ikiwa hakuna watu watakaowakaribisha au kuwasikia katika mji huo"

ninyi ... yenu

Hivi ni viwakilishi vya wingi ambavyo vinamaanisha mitume kumi na mbili

kusikiliza maneno yenu

Hapa "maneno" inamaanisjha kile ambacho wanafunzi wa Yesu watasema. "kusikiliza ujumbe wenu" au "kusikiliza kile mnachotaka kusema"

mji

Unaweza kutafsiri kama ulivyofanya kwa njia hiyo hiyo

jipanguseni mavumbi ya mguuni

"jipanguseni mavumbi y a miguu yenu mnapoondoka." Hii ni ishara inayoonesha kuwa Mungu amaewakataa watu wa mji au nyumba hiyo.

kweli nawaambia

"Nawaambia ukweli." Kirai hiki kinaongeza msisitizo kwa kile ambacho Yesu atasema baadaye.

itakuwa zaidi ya kuvumilia

"mateso yatakuwa machache"

mji wa Sodoma na Gomora

Hii inamaanisha watu walioishi Sodoma na Gomora."watu ambao waliishi katika miji ya Sodoma na Gomora"

mji huo

Hii inamaanisha watu katika mji ambao hawakutaka kuwapokea mitume au kusikiliza ujumbe wao. "Watu wa mji huo ambao hawakuwapokea"