forked from WA-Catalog/sw_tn
40 lines
1.1 KiB
Markdown
40 lines
1.1 KiB
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Yesu anaendelea kuwaelekeza wanafunzi wake cha kufanya watakapoenda kuhubiri
|
||
|
|
||
|
# Na kwa wale wasiowapokea au kusikiliza
|
||
|
|
||
|
"Ikiwa hakuna watu watakaowakaribisha au kuwasikia katika mji huo"
|
||
|
|
||
|
# ninyi ... yenu
|
||
|
|
||
|
Hivi ni viwakilishi vya wingi ambavyo vinamaanisha mitume kumi na mbili
|
||
|
|
||
|
# kusikiliza maneno yenu
|
||
|
|
||
|
Hapa "maneno" inamaanisjha kile ambacho wanafunzi wa Yesu watasema. "kusikiliza ujumbe wenu" au "kusikiliza kile mnachotaka kusema"
|
||
|
|
||
|
# mji
|
||
|
|
||
|
Unaweza kutafsiri kama ulivyofanya kwa njia hiyo hiyo
|
||
|
|
||
|
# jipanguseni mavumbi ya mguuni
|
||
|
|
||
|
"jipanguseni mavumbi y a miguu yenu mnapoondoka." Hii ni ishara inayoonesha kuwa Mungu amaewakataa watu wa mji au nyumba hiyo.
|
||
|
|
||
|
# kweli nawaambia
|
||
|
|
||
|
"Nawaambia ukweli." Kirai hiki kinaongeza msisitizo kwa kile ambacho Yesu atasema baadaye.
|
||
|
|
||
|
# itakuwa zaidi ya kuvumilia
|
||
|
|
||
|
"mateso yatakuwa machache"
|
||
|
|
||
|
# mji wa Sodoma na Gomora
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha watu walioishi Sodoma na Gomora."watu ambao waliishi katika miji ya Sodoma na Gomora"
|
||
|
|
||
|
# mji huo
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha watu katika mji ambao hawakutaka kuwapokea mitume au kusikiliza ujumbe wao. "Watu wa mji huo ambao hawakuwapokea"
|