sw_tn/mat/09/27.md

841 B

Sentensi unganishi

Hii inaanzisha habari ya Yesu akiwaponya wanaume wawili waliokuwa vipofu

Alipokuwa akipita Yesu njiani

Yesu alikuwa akiondoka kwenye mji

akipita

"Alikuwa akiondoka" au "alikuwa akienda"

wakamfuata

Hii inamaainisha kuwa walikuwa wakitembea nyuma ya Yesu, siyo lazima kuwa walikuwa wameshakuwa wanafunzi wake.

uturehemu

Inamaanisha kuwa walitaka Yesu awaponye

Mwana wa Daudi

Yesu hakuwa mwana halisi wa Daudi, hivyo inaweza kutafsiriwa kama "Ukoo wa Daudi". Ingawa, "Mwana wa Daudi" pia ni cheo alichopewa Masihi, na wale wanaume yawezekana walikuwa wakimwita Yesu kwa Sifa hii.

Pindi Yesu alipokuwa amefika kwenye nyumba

Hii inaweza kuwa nyumba ya Yesu au nyumba iliyosemwa kwenye 9:10

Ndiyo,Bwana

Jibulote halijatolewa lakini linaeleweka "Ndiyo, Bwana, tunaamini kuwa unaweza kutuponya."