sw_tn/mat/09/23.md

661 B

Sentensi unganishi

Hii inarudisha habari ya Yesu kumfufua binti wa afisa wa Kiyahudi

nyumba ya ofisa

Hii ilikuwa nyumba ya kiongozi wa kiyahudi

wapiga tarumbeta na umati wa watu walikuwa wakipiga kelele

Huu ni utamaduni wa kawaida wa kumboleza pale mtu anapokuwa amekufa.

wapiga zumari

"watu ambao wanapiga zumari/filimbi"

Ondoka hapa

Yesu alikuwa akiongea kwa watu wengi, hivyo tumia mfumo wa wingi wa kutoa amri kama lugha yenu inao huo.

binti hajafa, lakini amelala

Yesu anatumia igizo la maneno. Ilikuwa ni kawaida kipindi cha Yesu kusema mtu aliyekufa kuwa "amelala" Lakini hapa binti aliyekufa ataamka, ingawa yeye alikuwa amelala.