forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
661 B
Markdown
24 lines
661 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Hii inarudisha habari ya Yesu kumfufua binti wa afisa wa Kiyahudi
|
||
|
|
||
|
# nyumba ya ofisa
|
||
|
|
||
|
Hii ilikuwa nyumba ya kiongozi wa kiyahudi
|
||
|
|
||
|
# wapiga tarumbeta na umati wa watu walikuwa wakipiga kelele
|
||
|
|
||
|
Huu ni utamaduni wa kawaida wa kumboleza pale mtu anapokuwa amekufa.
|
||
|
|
||
|
# wapiga zumari
|
||
|
|
||
|
"watu ambao wanapiga zumari/filimbi"
|
||
|
|
||
|
# Ondoka hapa
|
||
|
|
||
|
Yesu alikuwa akiongea kwa watu wengi, hivyo tumia mfumo wa wingi wa kutoa amri kama lugha yenu inao huo.
|
||
|
|
||
|
# binti hajafa, lakini amelala
|
||
|
|
||
|
Yesu anatumia igizo la maneno. Ilikuwa ni kawaida kipindi cha Yesu kusema mtu aliyekufa kuwa "amelala" Lakini hapa binti aliyekufa ataamka, ingawa yeye alikuwa amelala.
|