sw_tn/mat/09/17.md

1.1 KiB

Sentensi unganishi

Yesu anaendelea kujibu swali ambalo wanafaunzi wa Yohana walikuwa wameuliza

Hakuna watu wanaoweka mvinyo mpya katika ngozi ya zamani

Yesu anatumia mithali Nyingine kuwajibu wanafunzi wa Yohana. Hii inamaanisha ni kitu kilekile sawa na mithali ya 9:16

Hakuna watu wanaoweka

"Hakuna hata mmoja anayemwaga" au "Watu hawaweki kamwe"

mvinyo mpya

Huu ni mvinyo ambao haujachacha. Kama mizabibu haijulikani kwenye sehemu yenu, tumia neno la ujumla la tunda."mvinyo wa matunda"

mfuko wa mvinyo mkuukuu

Hii inamaanisha mifuko ya mvinyo ambayo imekuwa ikitumika mara nyingi.

Mfuko wa mvinyo

"mkoba wa mvinyo" au "mkoba wa ngozi". Hii ni mifuko iliyokuwa imetengenezwa kwa ngozi za wanyama.

mvinyo utatoweka na gozi itaharibika

Hii inaweza kuelezwa katika mfumo tendaji. "Na hii itaharibu mfuko wa mvinyo na mvinyo kumwagika.

ngozi itaharibika

mvinyo mpya unapochacha na kuumuka, ile ngozi huchanika kwa sababu haiwezi tena kutanuka.

ngozi mpya

"mifuko mipya ya mvinyo" au "begi jipya la mvinyo" Hii inamaanisha ngozi ya mvinyo ambayo haijawahi kutumika.

vyote vitakuwa salama

Hili linaweza kuelezwa kwa mfumo tendaji