sw_tn/mat/09/10.md

714 B

Maelezo kwa ujumla

Matukio haya yalitokea kwenye nyumba ya Mathayo mtoza ushuru

nyumba

Hii yawezekana ni nyumba ya Mathayo, lakini yawezekana kuwa nyumba ya Yesu(walitumia kula Yesu na wanafunzi wake")Kilitengwa maalum ikiwa kitahitajika kuepusha kuchanganywa.

Ndipo

Hii inaonyesha mwanzo wa tukio jingine katika habari kuu. Inaweza kuhusisha watu tofauti kuliko matukio yale ya kwanza. Lugha yako inaweza kuwa na namna ya kulielezea hili.

Mafarisayo walipoona hayo

"Na mafarisayo walipoona kwamba Yesu alikuwa anakula na watoza ushuru na watu wenye dhambi"

kwa nini mwalimu wenu anakula pamoja na watoza ushuru na waovu?

Mafarisayo walitumia swali hili kumkosoa Yesu kile alichokuwa akifanya.