sw_tn/mat/09/01.md

32 lines
907 B
Markdown

# Sentensi unganishi
Mwandishi anarejea kwenye wazo kuu, ambalo linaanzia 8:1, la Yesu akiwaponya watu. Hii inaanzisha habari ya Yesu akimponya mwanamume aliyekuwa amepooza
# Yesu akaingia kwenye boti
Wanafunzi yamkini walienda na Yesu'
# boti
Yamkini ni boti ile ile
# akafika kwenye mji wake
"mji ambao yeye aliishi"
# Ndipo
Hii inaonyesha mwanzo wa tukio jingine kubwa la hadithi. Linaweza kuhusisha watu wengine tofauti na tukio lililopita. Lugha yako inaweza kuwa na njia nyingine ya kuonyesha hili.
# yao....zao
Hii inaonyesha wale ambao walimleta mgonjwa wa kupooza kwa Yesu. Hii inahusisha mgonjwa aliyepooza mwenyewe.
# Mtoto
Huyu mtu hakuwa mtoto halisi wa Yesu. Yesu alikuwa akiongea naye kwa upole. Ikiwa hii inachanganya, inaweza pia kutafsiriwa"Rafiki yangu" au "Kijana" au hata kuondolewa.
# Dhambi zako zimesamehewa
"Mungu amesamehe dhambi zako" au "Nimekusamehe dhambi zako"