forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
907 B
Markdown
32 lines
907 B
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Mwandishi anarejea kwenye wazo kuu, ambalo linaanzia 8:1, la Yesu akiwaponya watu. Hii inaanzisha habari ya Yesu akimponya mwanamume aliyekuwa amepooza
|
|
|
|
# Yesu akaingia kwenye boti
|
|
|
|
Wanafunzi yamkini walienda na Yesu'
|
|
|
|
# boti
|
|
|
|
Yamkini ni boti ile ile
|
|
|
|
# akafika kwenye mji wake
|
|
|
|
"mji ambao yeye aliishi"
|
|
|
|
# Ndipo
|
|
|
|
Hii inaonyesha mwanzo wa tukio jingine kubwa la hadithi. Linaweza kuhusisha watu wengine tofauti na tukio lililopita. Lugha yako inaweza kuwa na njia nyingine ya kuonyesha hili.
|
|
|
|
# yao....zao
|
|
|
|
Hii inaonyesha wale ambao walimleta mgonjwa wa kupooza kwa Yesu. Hii inahusisha mgonjwa aliyepooza mwenyewe.
|
|
|
|
# Mtoto
|
|
|
|
Huyu mtu hakuwa mtoto halisi wa Yesu. Yesu alikuwa akiongea naye kwa upole. Ikiwa hii inachanganya, inaweza pia kutafsiriwa"Rafiki yangu" au "Kijana" au hata kuondolewa.
|
|
|
|
# Dhambi zako zimesamehewa
|
|
|
|
"Mungu amesamehe dhambi zako" au "Nimekusamehe dhambi zako"
|