sw_tn/mat/09/01.md

907 B

Sentensi unganishi

Mwandishi anarejea kwenye wazo kuu, ambalo linaanzia 8:1, la Yesu akiwaponya watu. Hii inaanzisha habari ya Yesu akimponya mwanamume aliyekuwa amepooza

Yesu akaingia kwenye boti

Wanafunzi yamkini walienda na Yesu'

boti

Yamkini ni boti ile ile

akafika kwenye mji wake

"mji ambao yeye aliishi"

Ndipo

Hii inaonyesha mwanzo wa tukio jingine kubwa la hadithi. Linaweza kuhusisha watu wengine tofauti na tukio lililopita. Lugha yako inaweza kuwa na njia nyingine ya kuonyesha hili.

yao....zao

Hii inaonyesha wale ambao walimleta mgonjwa wa kupooza kwa Yesu. Hii inahusisha mgonjwa aliyepooza mwenyewe.

Mtoto

Huyu mtu hakuwa mtoto halisi wa Yesu. Yesu alikuwa akiongea naye kwa upole. Ikiwa hii inachanganya, inaweza pia kutafsiriwa"Rafiki yangu" au "Kijana" au hata kuondolewa.

Dhambi zako zimesamehewa

"Mungu amesamehe dhambi zako" au "Nimekusamehe dhambi zako"