1.0 KiB
Sentensi unganishi
Hapa mandhari yanahamia kwenye simulizi la Yesu akituliza dhoruba wakati yeye na wanafunzi walipokuwa wakivuka bahari ya Galilaya.
alipoingia kwenye boti
"kuingia ndani ya boti"
wanafunzi wake wakamfuata
Jaribu kutumia neno lilelile kwa "wanafunzi" na "kufuata" ambalo umelitumia
Tazama
Hii inaonyesha kuanza kwa kutukio jingine kubwa la hadithi. Lugha yako inaweza ikawa na njia nyingine ya kuonyesha hili.
likatokea wimbi kubwa baharini
"wimbi la nguvu likatokea baharini"
ndipo sasa boti ikazungukwa na mawimbi
Hii inaweza kutafsiriwa kwa mfumo tendaji. "ndipo sasa mawimbi yakafunika boti"
wakamwamsha, wakamwambia,"tuokoe
Maana inayowezekana ni 1) kwanza walimwamsha Yesu na ndipo wakasema, "tuokoe" au 2) walipokuwa wakimwamsha walimwambia "tuokoe"
sisi
ikiwa unataka kutafsiri neno hili kama pamoja au kipekee, ndipo kipekee ni bora. Wanafunzi yawezekana walimaanisha walitaka Yesu awaokoe wanafunzi na yeye mwenyewe kwenye kuzama.
sisi tunaelekea kufa
"sisi tunakwenda kufa"