sw_tn/mat/08/23.md

1.0 KiB

Sentensi unganishi

Hapa mandhari yanahamia kwenye simulizi la Yesu akituliza dhoruba wakati yeye na wanafunzi walipokuwa wakivuka bahari ya Galilaya.

alipoingia kwenye boti

"kuingia ndani ya boti"

wanafunzi wake wakamfuata

Jaribu kutumia neno lilelile kwa "wanafunzi" na "kufuata" ambalo umelitumia

Tazama

Hii inaonyesha kuanza kwa kutukio jingine kubwa la hadithi. Lugha yako inaweza ikawa na njia nyingine ya kuonyesha hili.

likatokea wimbi kubwa baharini

"wimbi la nguvu likatokea baharini"

ndipo sasa boti ikazungukwa na mawimbi

Hii inaweza kutafsiriwa kwa mfumo tendaji. "ndipo sasa mawimbi yakafunika boti"

wakamwamsha, wakamwambia,"tuokoe

Maana inayowezekana ni 1) kwanza walimwamsha Yesu na ndipo wakasema, "tuokoe" au 2) walipokuwa wakimwamsha walimwambia "tuokoe"

sisi

ikiwa unataka kutafsiri neno hili kama pamoja au kipekee, ndipo kipekee ni bora. Wanafunzi yawezekana walimaanisha walitaka Yesu awaokoe wanafunzi na yeye mwenyewe kwenye kuzama.

sisi tunaelekea kufa

"sisi tunakwenda kufa"