forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
1.0 KiB
Markdown
36 lines
1.0 KiB
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Hapa mandhari yanahamia kwenye simulizi la Yesu akituliza dhoruba wakati yeye na wanafunzi walipokuwa wakivuka bahari ya Galilaya.
|
||
|
|
||
|
# alipoingia kwenye boti
|
||
|
|
||
|
"kuingia ndani ya boti"
|
||
|
|
||
|
# wanafunzi wake wakamfuata
|
||
|
|
||
|
Jaribu kutumia neno lilelile kwa "wanafunzi" na "kufuata" ambalo umelitumia
|
||
|
|
||
|
# Tazama
|
||
|
|
||
|
Hii inaonyesha kuanza kwa kutukio jingine kubwa la hadithi. Lugha yako inaweza ikawa na njia nyingine ya kuonyesha hili.
|
||
|
|
||
|
# likatokea wimbi kubwa baharini
|
||
|
|
||
|
"wimbi la nguvu likatokea baharini"
|
||
|
|
||
|
# ndipo sasa boti ikazungukwa na mawimbi
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kutafsiriwa kwa mfumo tendaji. "ndipo sasa mawimbi yakafunika boti"
|
||
|
|
||
|
# wakamwamsha, wakamwambia,"tuokoe
|
||
|
|
||
|
Maana inayowezekana ni 1) kwanza walimwamsha Yesu na ndipo wakasema, "tuokoe" au 2) walipokuwa wakimwamsha walimwambia "tuokoe"
|
||
|
|
||
|
# sisi
|
||
|
|
||
|
ikiwa unataka kutafsiri neno hili kama pamoja au kipekee, ndipo kipekee ni bora. Wanafunzi yawezekana walimaanisha walitaka Yesu awaokoe wanafunzi na yeye mwenyewe kwenye kuzama.
|
||
|
|
||
|
# sisi tunaelekea kufa
|
||
|
|
||
|
"sisi tunakwenda kufa"
|