forked from WA-Catalog/sw_tn
40 lines
1008 B
Markdown
40 lines
1008 B
Markdown
# Sentensi unganisha
|
|
|
|
Hapa simulizi linabadilika na kusimulia jinsi Yesu alivyosema juu ya watu waliotaka kumfuata
|
|
|
|
# Kisha
|
|
|
|
Hili neno limetumika hapa kuonyesha alama ya kikomo cha hadithi. Hapa Mathayo anaanza kueleza sehemu mpya ya hadithi.
|
|
|
|
# yeye alitoa maelekezo
|
|
|
|
"aliwaambia wanafunzi wake"
|
|
|
|
# Ndipo
|
|
|
|
Hapa inamaanisha baada ya Yesu "kutoa maelekezo" lakini kabla yake kuingia ndani ya boti.
|
|
|
|
# popote
|
|
|
|
"sehemu yeyote"
|
|
|
|
# Mbwea wana mashimo, na ndege wa angani wana vichari
|
|
|
|
Hii ina maana hata wanyama wakali wana sehemu ya kupumzika.
|
|
|
|
# mbwea
|
|
|
|
Mbwea ni wanyama kama mbwa. Wanakula ndege wadogo na wanyama wengine wadogo. Ikiwa mbwea hawajulikani kwenye eneo lako, tumia kwa ujumla mbwa - kama viumbe au mnyama mwingine mkali.
|
|
|
|
# shimo
|
|
|
|
Mbwea wanatengeneza mashimo ardhini kwa kuishi humo. Tumia neno sahihi kwa eneo ambalo mnyama "mbwea" anaishi.
|
|
|
|
# mwanadamu
|
|
|
|
Yesu anaongelea kuhusu yeye mwenyewe
|
|
|
|
# hana sehemu ya kulaza kichwa chake
|
|
|
|
Hii ina maanisha sehemu ya kulala. "hana sehemu yake ya kulala."
|