sw_tn/mat/08/18.md

1008 B

Sentensi unganisha

Hapa simulizi linabadilika na kusimulia jinsi Yesu alivyosema juu ya watu waliotaka kumfuata

Kisha

Hili neno limetumika hapa kuonyesha alama ya kikomo cha hadithi. Hapa Mathayo anaanza kueleza sehemu mpya ya hadithi.

yeye alitoa maelekezo

"aliwaambia wanafunzi wake"

Ndipo

Hapa inamaanisha baada ya Yesu "kutoa maelekezo" lakini kabla yake kuingia ndani ya boti.

popote

"sehemu yeyote"

Mbwea wana mashimo, na ndege wa angani wana vichari

Hii ina maana hata wanyama wakali wana sehemu ya kupumzika.

mbwea

Mbwea ni wanyama kama mbwa. Wanakula ndege wadogo na wanyama wengine wadogo. Ikiwa mbwea hawajulikani kwenye eneo lako, tumia kwa ujumla mbwa - kama viumbe au mnyama mwingine mkali.

shimo

Mbwea wanatengeneza mashimo ardhini kwa kuishi humo. Tumia neno sahihi kwa eneo ambalo mnyama "mbwea" anaishi.

mwanadamu

Yesu anaongelea kuhusu yeye mwenyewe

hana sehemu ya kulaza kichwa chake

Hii ina maanisha sehemu ya kulala. "hana sehemu yake ya kulala."