forked from WA-Catalog/sw_tn
398 B
398 B
Maelezo kwa ujumla
Mistari hii inafafanua jinsi watu katika makutano walivyoyapokea mafundisho ya Yesu ya mlimani.
ilifika kipindi ambacho
Huu usemi unaonyesha hitimisho la hotuba ya mlimani.
walishangazwa kwa mafundisho yake
iko wazi katika 7:29 kwamba walishangazwa si kwa sababu ya alichofundisha Yesu bali pia jinsi alivyofundisha . "walishangazwa kwa jinsi alivyoweza kufundisha."