sw_tn/mat/07/28.md

398 B

Maelezo kwa ujumla

Mistari hii inafafanua jinsi watu katika makutano walivyoyapokea mafundisho ya Yesu ya mlimani.

ilifika kipindi ambacho

Huu usemi unaonyesha hitimisho la hotuba ya mlimani.

walishangazwa kwa mafundisho yake

iko wazi katika 7:29 kwamba walishangazwa si kwa sababu ya alichofundisha Yesu bali pia jinsi alivyofundisha . "walishangazwa kwa jinsi alivyoweza kufundisha."