forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
398 B
Markdown
12 lines
398 B
Markdown
|
# Maelezo kwa ujumla
|
||
|
|
||
|
Mistari hii inafafanua jinsi watu katika makutano walivyoyapokea mafundisho ya Yesu ya mlimani.
|
||
|
|
||
|
# ilifika kipindi ambacho
|
||
|
|
||
|
Huu usemi unaonyesha hitimisho la hotuba ya mlimani.
|
||
|
|
||
|
# walishangazwa kwa mafundisho yake
|
||
|
|
||
|
iko wazi katika 7:29 kwamba walishangazwa si kwa sababu ya alichofundisha Yesu bali pia jinsi alivyofundisha . "walishangazwa kwa jinsi alivyoweza kufundisha."
|